Ahe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Ahe.

Ahe ni kisiwa cha Polinesia ya Kifaransa ndani ya funguvisiwa la Tuamotu.[1] Kiko upande wa magharibi wa kisiwa cha Manihi. Eneo la kisiwa ni km² 12. Kijiji pekee kisiwani huitwa Tenukupara. Mwaka wa 2012, idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa ni 552. Watu wakaao kisiwani kwa Ahe huongea Kituamotu na Kitahiti.[2]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Wazungu wa kwanza waliorekodiwa kuwasili Ahe walikuwa mabaharia wa Uholanzi Willem Schouten na Jacob Le Maire mnamo mwaka 1616. Ahe baadaye ilitembelewa na Marekani Exploring Expedition, mnamo mwaka 1838 hadi 1842 [3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Young, J.L. (1899). "Names of the Paumotu Islands, with the old names so far as they are known.". Journal of the Polynesian Society 8 (4): 264–268. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-02-10. Iliwekwa mnamo 7 January 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Oceandots - Ahe, Tuamotu Archipelago". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-12-23. Iliwekwa mnamo 2009-03-14.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  3. United States Exploring Expedition
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.