Nenda kwa yaliyomo

Aggrey Deaisile Joshua Mwanri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aggrey Deaisile Joshua Mwanri, (alizaliwa 17 Julai 1955) aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, na aliwahi kuwa mbunge wa jimbo la Siha katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.[1] Anatokea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Mengi kuhusu Aggrey Deaisile Joshua Mwanri". 17 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
    Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Aggrey Deaisile Joshua Mwanri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.