Abby Chams

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abby Chams
Taarifa za awali
Jina la kuzaliwaAbigail Chamungwana
Amezaliwa2003
Tanzania
Kazi yake

Abigail Chamungwana (anayejulikana sana kwa jina la kisanii kama Abigail Chams au Abby Chams) ni mwanaharakati wa kijamii, mpiga ala za muziki na mwimbaji kutoka nchini Tanzania.[1][2]

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Abigail alizaliwa kwenye familia ya muziki; babu yake alikuwa kiongozi wa bendi ya muziki na bibi yake alikuwa mwimbaji wa kwaya kanisani.[3]

Shuguli za kijamii[hariri | hariri chanzo]

Mnamo 2020 Abby Chams aliteuliwa na UNICEF kuwa mtetezi wa vijana[4] nchini Tanzania kuhusu afya ya akili na usawa wa kijinsia wakati wa siku ya kimataifa ya watoto 2020; pia alitumbuiza katika maonyesho ya expo 2020 huko Dubai.[5]

Tuzo[hariri | hariri chanzo]

Mnamo 2022 Abby Chams alipendekezwa kuwania tuzo za Tanzania Music Awards kama msanii anayechipukia.

Diskografia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Abby Chams The gospel voice fairy". The Citizen (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-10-22. 
  2. "Waridi wa BBC: Abby Chams azungumzia changomoto za wanamuziki wa kike". BBC Swahili (kwa Kiswahili). Iliwekwa mnamo 2021-09-15. 
  3. "Closer with Abigail Chams: KenyaBuzz Exclusive Interview". Kenya Buzz (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-09-02. 
  4. "UNICEF Appoints two new Youth Advocates during Expo 2020 Dubai ceremony". UNICEF (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-20. 
  5. "Abby chams atumbuiza Expro2020 Dubai". Dar 24 (kwa Kiswahili). Iliwekwa mnamo 2022-12-24. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abby Chams kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.