Nenda kwa yaliyomo

ABBA

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lua error in package.lua at line 80: module 'Module:Navbar/configuration' not found.

ABBA lilikuwa kundi la muziki wa aina ya pop kutoka nchini Uswidi, ambao waliwika sana kunako miaka ya 1970 na 1980. Jina la "ABBA" lilitokana na kila herufi ya kwanza ya jina la mwanakundi:

  • Agnetha Fältskog
  • Björn Ulvaeus
  • Benny Andersson, na
  • Anni-Frid Lyngstad.

ABBA walikuja kuwa maarufu sana baada ya kushinda mwaka 1974 katika mashindano ya kutafuta nyimbo bora za nchi za Ulaya (Eurovision Song Contest). Walikuwa na vibao vingi tu malidhawa. Vibao kama vile "Dancing Queen", "SOS", "Mamma Mia", na "Waterloo". Karibuni nyimbo zao zote zilikuwa zikitungwa na Ulvaeus na Andersson.

Kundi lilikuwa kuvunjika mnamo mwaka wa 1982, lakini bado vibao viliendelea kuwa maarufu. Nyimbo moja ya ABBA ilibahatika kuonekana katika baadhi ya filamu (ikiwemo filamu ya Kiaustralia-The Adventures of Priscilla, Queen of the Desert na Muriel's Wedding.

Filam, video

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]

Lua error in package.lua at line 80: module 'Module:Navbar/configuration' not found.