Ziggy Marley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziggy Marley mnamo 2011

David Nesta "Ziggy" Marley (alizaliwa 17 Oktoba 1968)[1][2] ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji na mfadhili kutoka Jamaika.

Ni mtoto wa msanii maarufu wa reggae Bob Marley na Rita Marley.Aliongoza bendi ya familia Ziggy Marley na Melody Makers hadi 2002, ambao alitoa nao albamu nane studio.Baada ya kuachana na bendi ya famillia Ziggy alifanikiwa kutoa albamu nane zake binafsi.[3][4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ziggy Marley". Biography.com. 16 September 2022.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Ziggy Marley Biography". Musicianguide.com. 
  3. "Ziggy Marley Biography". Musicianguide.com. 
  4. "Ziggy Marley". Allmusic.com. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ziggy Marley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.