Jimbo la Zanzan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Zanzan)


Jimbo la Zanzan
Jimbo la Zanzan is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Zanzan
Jimbo la Zanzan

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 8°40′13″N 3°20′41″W / 8.67028°N 3.34472°W / 8.67028; -3.34472
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Zanzan
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 934,352[1]

Jimbo la Zanzan (kwa Kifaransa: District du Zanzan) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko Kaskazini mashariki mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 934,352[1].

Makao makuu yako Bondoukou.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast)". Statoids.com. Iliwekwa mnamo 27 Juni 2019.