Western Stima
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Logo | ||
| Full jina | Western Stima Football Club | |
|---|---|---|
| Kimeanzishwa | 1997 | |
| Ground | Bukhungu Stadium (Capacity: 5,000) |
|
| Owner | Kenya Power and Lighting Company | |
| Chairman | Hassan Shibwabo | |
| Team manager | Kipkemboi Boit | |
| Ligi | Kenyan Premier League | |
| 2008 | 9 | |
|
|
||
Western Stima Football Club ni kilabu cha soka nchini Kenya kilicho na makao mjini Kakamega. Kilabu hiki huchezea mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Bukhungu Stadium, na pia katika uwanja wa Moi Stadium mjini Kisumu[1] - viwanja vyote vikiwa na uwezo wa kukimu mashabiki elfu tano. Western Stima kwa sasa inacheza katika Ligi Kuu ya Kandanda ya Kenya.
Marejeo [hariri]
- ↑ http://www.kpl.co.ke/content.asp?id=15243 KPL profile
|
|||||
| Makala about a Kenyan football club bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |