Western Stima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Western Stima
Logo
Full jina Western Stima Football Club
Kimeanzishwa 1997
Ground Bukhungu Stadium
(Capacity: 5,000)
Owner Kenya Power and Lighting Company
Chairman Hassan Shibwabo
Team manager Kipkemboi Boit
Ligi Kenyan Premier League
2008 9

Western Stima Football Club ni kilabu cha soka nchini Kenya kilicho na makao mjini Kakamega. Kilabu hiki huchezea mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Bukhungu Stadium, na pia katika uwanja wa Moi Stadium mjini Kisumu[1] - viwanja vyote vikiwa na uwezo wa kukimu mashabiki elfu tano. Western Stima kwa sasa inacheza katika Ligi Kuu ya Kandanda ya Kenya.

Marejeo [hariri]