Tusker FC

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Tusker FC
Logo
Full jina Tusker FC
Kimeanzishwa 1970
Ground Moi International Sports Centre
Nairobi, Kenya
(Capacity: 60,000)
Cheyaman Henry Emuye
Manager James Nandwa
Ligi Kenyan Premier League
Home colours

Tusker FC ni klabu ya kandanda yenye makao yake katika mji mkuu wa Nairobi nchini Kenya. Ni klabu ya tatu iliyofanikiwa zaidi nchini Kenya kwani ina ligi nane za michuano ya Kenya na tatu za Kombe ya Kenya. Aidha, imeshinda mataji manne katika kombe la klabu za CECAFA katika eneo la Afrika Mashariki.

Klabu hii inamilikiwa na East African Breweries na jina lake linahusu Tusker bia ya kusisimua na ambayo inajulikana sana ya kampuni hii. Klabu hii ilikuwa inajulikana kama Kenya Breweries hadi mwaka wa 1999, wakati ambapo jina lake la sasa lilianzishwa. Tusker FC ina uwanja mbili ambazo hutumia kwa mechi za nyumbani, Moi International Sports Centre na Ruaraka Sports Ground.

Peter Serry, Mkurugenzi Mtendaji wa Tusker FC, aliaga dunia katika moto ya Nakumatt Supermarket mwaka wa 2009 katika mji mkuu wa Nairobi mwezi wa Januari. Alikuwa akiandamana na kocha wa Tusker FC James Nandwa, ambaye alinusurika kifo.

Yaliyomo

Majalio [hariri]

  • Ligi kuu ya Kenya:8
1972, 1977, 1978, 1994, 1996, 1999, 2000, 2007
  • Kombe la Rais:3
1975, 1989, 1993
  • Kombe la klabu za CECAFA:5
1988, 1989, 2000, 2001, 2008
  • East African Hedex Super Cup: 2
1994, 1995

Utendaji katika mashindano ya CAF. [hariri]

1971: Raundi ya kwanza
1971: Raundi ya kwanza
1986 - Raundi ya Pili
1971: Raundi ya kwanza
1971: Raundi ya kwanza
2008 - Raundi ya mchujo
  • Kombe la Mabingwa wa klabu la Afrika : 4
1985 - Nusu fainali
1972: Ilijitoa katika raundi ya kwanza
1971: Raundi ya kwanza
1971: Raundi ya kwanza
  • Kombe la CAF : 1
1985 - Nusu fainali
  • Kombe la CAF la washindi:4
1971: Raundi ya kwanza
1986 - Raundi ya Pili
1986 - Raundi ya Pili
1994 - Walifika fainali

Marejeo [hariri]

Viungo vya nje [hariri]