Vito wa Pontida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vito wa Pontida, O.S.B. (alifariki 1096 hivi), alikuwa abati wa monasteri ya Wabenedikto wa urekebisho wa Cluny iliyoanzishwa na Alberto wa Pontida huko Lombardia, Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[2] pamoja na mwenzake Alberto[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/69310
  2. Martyrologium Romanum
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/69300

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • G.M. Cantarella, I monaci di Cluny, Einaudi, Torino, 1997;
  • J. Huizinga, L'autunno del Medioevo, Newton-Compton, Roma, 1997;
  • J. Le Goff, L'uomo medievale, Laterza, Bari, 1999;
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.