Utengule

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Utengule ni jina la sehemu mbili tofauti katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania:

Utengule zote mbili zina uhusiano wa Kihistoria zilikuwa makao makuu ya chifu Merere II wa Wasangu aliyehamisha boma lake 1877 kutoka Usangu kwenda Usafwa kutokana na mashambulio ya Wahehe na kuita boma jipya tena "Utengule"..


Disambig.svg
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.