Ukahaba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukahaba (kutoka Kiing. Prostitution,hooker, whore, ho, street walker, sex worker au escort) huyu mtu, mara nyingi huwa mwanamke, mwenye kufanya ngono na watu kwa malipo ya fedha. Katika Kiingereza, Prostitution eti kuna kipindi wanaita "taaluma ya kale duniani". Kulikuwa na hadithi zake karibuni katika kila tamaduni.
Yaliyomo |
[hariri] Jinsi na namna ya ukahaba
Kahaba hutembea mitaani akitafuta wateja au hufanyakazi katika jengo linaloitwa dangulo. Bosi wao (yule mtu wanayemfanyia kazi na kupata fedha kwa ajili ya kazi) "Bi. fulani" (akiwa mwanamke) au "kuwadi" (akiwa mwanamume). Katika mji wa Amsterdam ni sehemu mashahuri kwa makahaba na wapo katika jumba moja linaloitwa Red Light District (mahala pa mjini ambako kunasifika kwa ukahaba).
[hariri] Hali tofauti
[hariri] Uhalali
[hariri] Kuutangaza ukahaba
[hariri] Matatizo
[hariri] Usafirishaji wa binadamu na utumwa wa kimapenzi
[hariri] Makahaba watoto
[hariri] Marejeo
[hariri] Tazama pia
| Makala hiyo kuhusu "Ukahaba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Ukahaba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |