Uislamu nchini Burundi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi
Msikiti wa Bujumbura.

Uislamu nchini Burundi unasemekana kuwa na karibu asilimia tatu hadi tano ya idadi ya wananchi wa Burundi.[1]

Idadi kubwa ya Waislamu ni wa dhehebu la Sunni, ikiwa na kiasi kidogo tu cha Shia.[2]

Burundi, kikatiba ni nchi isiyoendeshwa kidini, lakini Eid ul-Fitr ni miongoni mwa sikukuu za kitaifa.[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]