Uislamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi
Islam in Africa.

Uislamu unakadiriwa kuwa asilimia 15 (watu 750,000) ya jumla ya wakazi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, inaufanya kuwa kundi la pili la dini lenye wafuasi wengi baada ya Ukristo wenye asilimia 80.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ministère du Plan et de l'Economie". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-12-10. Iliwekwa mnamo 2015-05-09.