Uislamu nchini Eritrea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Eritrea ni dini ya pili kwa wingi wa waumini ambayo inafuatwa sana baada ya Ukristo ikiwa na asilimia 36-48 za wakazi wote.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Imani hiyo iliwasili nchini Eritrea mapema sana, muda mfupi baada ya Hijira.[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. J. Spencer Trimingham. 1952.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Jisomee[hariri | hariri chanzo]