Uislamu nchini Komori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi

Kulingana na makadirio yaliyofanywa mwaka wa 2006 na Wamarekani - inasemekana asilimia 98 ya wakazi wa Komori ni Waislamu. Waislamu wengi wa Komori ni Sunni wanaofuata mafunzo ya imam Shafi. Waumini walio wengi ni Waarabu-Waswahili au Waajemi, lakini pia kuna watu wenye asili ya Kihindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Ahmed, Abdallah Chanfi. Islam et politique aux Comores: Évolution de l'authorité spirituelle depuis le Protectorat français (1886) jusqu'à nos jours. Harmattan, 1999.
  • Newitt, Malyn. The Comoro Islands: Struggle against Dependency in the Indian Ocean.Westview 1984.
  • Ottenheimer, Martin. Marriage in Domoni: Husbands and Wives in an Indian Ocean Community. Waveland Press, 1984.
  • Ottenheimer, Martin. Historical Dictionary of the Comoro Islands. Scarecrow Press, 1994.
  •  This article incorporates public domain material from websites or documents of the Library of Congress Country Studies.