Ufalme wa Kongo (kitabu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ufalme wa Kongo
MwandishiChristophe Madihano
Jina la awaliLe Royaume Kongo
NchiJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
AinaTamthiliya
Kimechapishwa2017

Ufalme wa Kongo (kutoka Kifaransa, Le Royaume du Congo) ni kitabu na msururu wa picha iliyoundwa na mpiga picha wa afrofuturism Christophe Madihano.

Kitabu hiki kinaelezea mada kuu ya kihistoria katika asili ya watu ambao leo hii wanaunganisha nchi nne (Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Gabon na Angola) ambayo wanapata utambulisho wao wa moja kwa moja katika ufalme wa Kongo.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Job KAKULE (2021-03-17). "A Goma, le jeune Christophe Madihano valorise l’histoire du Royaume Kongo grâce à la photographie". www.grandslacsnews.com (kwa Kifaransa). Iliwekwa mnamo 2022-03-12. 
Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ufalme wa Kongo (kitabu) kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.