Sheila Okai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sheila Okai
Nchi Ghana
Kazi yake Mchezaji wa soka

Sheila Okai (alizaliwa 14 Februari 1979) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Ghana ambaye alicheza kama kiungo wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanawake ya Ghana. Alikuwa sehemu ya timu kwenye Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake la 1999 [1] na 2007 Katika ngazi ya klabu alichezea Ghatel Ladies nchini Ghana.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "FIFA Women's World Cup USA 1999 – Ghana". FIFA Women's World Cup United States 1999. FIFA. 1999. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo July 2, 2015. Iliwekwa mnamo 2007-09-28.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate= (help)
  2. "List of Players". FIFA Women's World Cup China 2007. FIFA. 2007. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo October 14, 2012. Iliwekwa mnamo 2007-09-28.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sheila Okai kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.