Servus wa Tuburbium

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Servus wa Tuburbium (alifariki 484 hivi) ni kati ya wafiadini wa Kanisa Katoliki waliouawa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Huneriki aliyekuwa Mwario.

Habari zao zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita.[1][2]

Tangu kale anaheshimiwa kama watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Desemba au 7 Desemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Ambrasi, Domenico (1 Feb 2001). "Santi Dionisia, Dativa, Leonzia, Terzo, Emiliano, Bonifacio, Maiorico e Servo Martiri". Santi e beati. Iliwekwa mnamo February 18, 2009.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. [Culusi "Holy Martyrs Dionysia, Dativa, Emilianus, Boniface, Leontia, Tertius, and Majoricus (+484)"] Check |url= scheme (help). Mystagogy Resource Center. Iliwekwa mnamo July 15, 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. https://catholicsaints.info/saint-servius/

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.