Salvatore Quasimodo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo Nobel.png

Salvatore Quasimodo (20 Agosti, 190114 Juni, 1968) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika mashairi. Pia alitafsiri tamthiliya na mashairi katika Kiitalia kutoka lugha nyingine. Mwaka wa 1959 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Salvatore Quasimodo
Quill and ink.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Salvatore Quasimodo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.