Romano wa Kaisarea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Watakatifu Romano na Barulas walivyochorwa na Francisco de Zurbarán.

Romano wa Kaisarea (alifariki Antiokia, leo nchini Uturuki, 303 hivi) alikuwa shemasi wa Kaisarea Baharini ambaye mwanzoni mwa dhuluma ya kaisari Dioklesyano aliteswa kwa sababu ya imani yake na hatimaye alinyongwa [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 18 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.