Paulo Liu Hanzuo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Paulo Liu Hanzuo alikuwa padri wa China aliyefia Ukristo kwa kunyongwa huko Chengdu 13 Februari 1818.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu mfiadini mwaka 2000.

Sikukuu yake na ya wenzake 119 huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya kifodini chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.