Nikola Tesla

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nikola Tesla
Nikola Tesla
Nikola Tesla
Alizaliwa 10 Julai 1856 Austria-Hungaria
Alikufa 7 Januari 1943 New York
Nchi Austria-Hungaria, Marekani
Kazi yake muhandisi na mtaalamu wa fizikia


Nikola Tesla (10 Julai 18567 Januari 1943; Kiserbia: Никола Тесла) alikuwa mhandisi na mtaalamu wa fizikia kutoka milki ya Austria-Hungaria aliyehamia baadaye Marikani. Tesla alizaliwa katika familia ya Kiserbia, alisoma uhandisi akajishughulisha hasa na umeme na sumakuumeme.

1884 alihamia Marekani alipoajiriwa na Thomas Edison lakini baadaye alitoka katika kampuni yake.

Kati ya mengi aliyobuni au alipochangia ni

[hariri] Stempu zilizotolewa kwa heshima ya Tesla

Nyumba alikozaliwa Tesla
Picha:Serbian 500din Tesla 1978-a king.jpg Picha:Serbia 1000din Tesla 1992-a king.jpg Picha:Serbia 10mlrd Tesla 1993-a king.jpg Picha:Serbia 5din Tesla 1994-a king.jpg Picha:Tesla.jpg



[hariri] Viungo vya Nje