Mpigania uhuru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kamanda Omar Mukhtar, maarufu kama "Simba wa Jangwani", aliongoza Mujahidin wa Libya dhidi ya wakoloni kutoka Italia miaka 1923-1932.

Mpigania uhuru ni mtu ambaye hujihusisha na harakati za kujikomboa au kukomboa watu wengine. Anaweza kuwa anatumia mikakati ya vita au majadiliano ili kuletea anaowatetea uhuru.

Wapigania uhuru maarufu[hariri | hariri chanzo]

Vita vikuu vya pili[hariri | hariri chanzo]

Wengineo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mpigania uhuru kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.