Leopoldo III wa Austria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Leopoldo III alivyochorwa.

Leopoldo III wa Austria (kwa Kijerumani: Luitpold; maarufu kama Leopoldo Mtawa; Melk, 1073Klosterneuburg, 15 Novemba 1136), alikuwa mfalme mdogo wa Austria tangu mwaka 1095 hadi kifo chake.

Anakumbukwa kwa kuleta maendeleo nchini na hasa kwa kujenga monasteri nyingi. Mwaka 1125 alikataa kugombea cheo cha kaisari wa Ujerumani

Alitangazwa na Papa Inosenti VIII kuwa mtakatifu tarehe 6 Januari 1485.

Sikukuu yake ni tarehe 15 Novemba[1][2].

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Lingelbach 1913, pp. 90–91.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.