Kinubi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kinubi
Kinubi mkia-kahawia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Corvoidea (Ndege kama kunguru)
Familia: Corvidae (Ndege walio na mnasaba na kunguru)
Jenasi: Cissa Boie, 1826

Crypsirina Vieillot, 1816
Cyanopica Bonaparte, 1850
Dendrocitta Gould, 1833
Pica Brisson, 1760
Platysmurus Reichenbach, 1850
Ptilostomus Swainson, 1837
Temnurus Lesson, 1831
Urocissa Cabanis, 1850

Spishi: Angalia katiba

Vinubi ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi mbalimbali katika familia Corvidae. Kinubi mkia-kahawia huitwa kinubi kwa ufupi pia. Ndege hawa hawana wote mhenga mmoja. Mkia wao ni mrefu kuliko ule wa kunguru. Spishi nyingi ni nyeusi au nyeusi na nyeupe; nyingine zina rangi ya buluu, ya majani au ya kahawa. Wanatokea Amerika ya Kaskazi, Ulaya, Afrika na Asia. Hula nusra kila kitu: wanyama na ndege wadogo, wadudu, mizoga, matunda, nafaka n.k. Hulijenga tago lao kwa vijiti mtini. Jike huyataga mayai 5-10.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Spishi za kabla ya historia[hariri | hariri chanzo]

  • Pica mourerae (Mwisho wa Pliocene – mwanzo wa Pleistocene ya Mallorca)

Picha[hariri | hariri chanzo]