Ketilo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Ketilo katika mchoro wa ukutani huko Kopenhagen.

Ketilo, C.R.S.A. (pia: Ketil, Chetillus, Ketillus, Keld, Kjeld,; Udani, 1100 hivi - Viborg, Udani, 27 Septemba 1150 hivi) alikuwa padri mwanajimbo ambaye alijunga na urekebisho wa Wakanoni akawa kielelezo cha umonaki, pamoja na kuwa na bidii kubwa kwa ajili ya seminari [1][2].

Papa Klementi III alimtangaza mtakatifu mwaka 1188[3].

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Walutheri tarehe 11 Julai[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Gian Domenico Gordini, BSS, vol. III (1963), col. 1196.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92965
  3. Giuseppe Löw, EC, vol. III (1949), col. 590.
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Viborg History: Prehistory-1726 (Mette Iversen et al., published by the Municipality of Viborg 1998)
  • Saint Kjeld: Food and miracles (published by Henning Høirup 1961)
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
  • Pio Paschini (cur.), Enciclopedia Cattolica (EC), 12 voll., Ente per l'Enciclopedia Cattolica e per il libro cattolico, Città del Vaticano 1948-1954.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.