Kengewa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kengewa | ||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Kengewa ni ndege mbua wa jenasi mbalimbali za nusufamilia Perninae katika familia Accipitridae. Wana mabawa marefu na mkia mrefu mwenye miraba myeusi. Kengewa mlanyuki na kengewa wa Asia hula nyuki, nyigu na asali hasa lakini spishi zingine hula wanyama wadogo. Hujenga tago lao juu ya mti msituni.
Mpaka juzi kengewa mlanyuki tu ameonwa Afrika kusini kwa Sahara, lakini mwaka 2005 kengewa wa Asia ameonwa huko Gaboni.
Spishi za Afrika [hariri]
- Pernis apivorus, Kengewa Mlanyuki (European Honey Buzzard)
- Pernis ptilorhynchus, Kengewa wa Asia (Crested Honey Buzzard)
Spishi za mabara mengine [hariri]
- Chondrohierax uncinatus (Hook-billed Kite)
- Chondrohierax wilsonii (Cuban Kite)
- Hamirostra melanosternon (Black-breasted Buzzard)
- Henicopernis infuscatus (Black Honey Buzzard)
- Henicopernis longicauda (Long-tailed Honey Buzzard)
- Leptodon cayanensis (Grey-headed Kite)
- Leptodon forbesi (White-collared Kite)
- Lophoictinia isura (Square-tailed Kite)
- Pernis celebensis (Barred Honey Buzzard)
- Pernis steerei (Philippine Honey Buzzard)
Picha [hariri]