Iskirioni na wenzake

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Iskirioni na wenzake watano (walifia dini Asiut, Misri, 249 hivi) wakati wa dhuluma ya kaisari Decius .

Mwenyewe alikuwa jemadari, wenzake askari wa kawaida chini yake. Waliuawa kwa namna mbalimbali kadiri ya amri ya mtawala Ariani kwa sababu ya imani yao ya Kikristo[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 1 Juni[2][3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.