Ipasi wa Gangra

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa Mt. Ipasi.

Ipasi wa Gangra (alifariki mkoani Paflagonia, leo nchini Uturuki, 345 hivi) alikuwa askofu aliyefia dini kwa kupigwa mawe na wafuasi wa Novatianus[1][2].

Aliwahi kushiriki mtaguso wa kwanza wa Nisea alipopinga Uario.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[3] au 31 Machi[4] au 19 Januari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.