Gaza
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gaza (Kiarabu: غزة; Kiebrania: עזה azzah) ni mji mkubwa wa Ukanda wa Gaza ambao ni sehemu ya maeneo chini ya mamlaka ya Palestina mwenye wakazi 400,000. Ni makao ya ofisi nyingi za serikali ya Palestina.