Galileo (kipimaanga)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Galileo mbele ya Mshtarii na Io kwa macho ya msanii.
Njia ya Galileo kwenda Mshtarii na kuizunguka
      Galileo ·      Mshtarii ·      Dunia ·      Zuhura ·      951 Gaspra.

Galileo ilikuwa kipimaanga kilichorushwa na NASA mwaka 1989 kwa shabaha ya kufanyia utafiti sayari ya Mshtarii (Jupiter) na miezi yake. Iligundua sayari ya Jupita na mwezi wake. Ilifika Mshtarii mnamo 1995.

Sehemu ya kwanza ya kipimaanga ilitengwa kwenye Julai 1995 na kuelekea Mshtarii.[1] Ikafika kwenye Desemba 1995 ikaingia katika angahewa ambako iliweza kukusanya data kwa dakika 57 hadi kuharibika.

Sehemu kuu ikaingia katika obiti ya Mshtarii ikazunguka muda wa miezi 9 ikashuka kwenye angahewa ya sayari ambako iliangamizwa mnamo 21 Septemba 2003. [2]

Jina lilichaguliwa kwa kuheshimu Galileo Galilei, mmoja kati ya wanaastronomia bora wa nyakati zote.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "NASA: Solar System Exploration: Missions: By Target: Jupiter: Past: Galileo". NASA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-10-06. Iliwekwa mnamo 2011-03-29.  Unknown parameter |https://web.archive.org/web/20121006010150/http://solarsystem.nasa.gov/missions/profile.cfm?MCode= ignored (help); Unknown parameter |= ignored (help)
  2. "NASA: Solar System Exploration: Galileo Legacy Site". NASA. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-10-02. Iliwekwa mnamo 2011-03-29.