Felisi wa Toniza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felisi wa Toniza (alifariki katika mji huo, leo La Calle nchini Tunisia, katika karne ya 3) alikuwa Mkristo wa Numidia aliyeuawa kwa ajili ya imani yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.