Erembati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Erembati akimuomba Martino wa Tours.

Erembati (Saint-Germain-en-Laye, Yvelines, Ufaransa, 610 hivi - Fontenelle, Seine-Maritime, 670 hivi) alikuwa kwa miaka kumi askofu wa Toulouse kabla ya kujiunga na monasteri alipofariki [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.