Catania
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Catania | |
| Catania na mlima Aetna | |
| Anwani ya kijiografia: 37°30′00″N 15°5′25″E / 37.5°N 15.09028°E | |
| Nchi | Italia |
|---|---|
| Mkoa | Sisilia |
| Wilaya | Catania |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 293,303 |
| Tovuti: www.comune.catania.it | |
Catania ni mji wa Italia katika mkoa la Sisilia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 300,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 7 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia[hariri]
Marejeo[hariri]
Viungo vya nje[hariri]
- (Kiitalia) Tovuti rasmi
| Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Catania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |