Avertino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Avertino huko huko Crach.

Avertino (pia: Iverzin; alifariki 1189) alikuwa shemasi mkaapweke karibu na Tours, Ufaransa.

Rafiki wa Thomas Becket, alimsindikiza uhamishoni (1164), na baada ya kifodini chake (1170), alirudi Ufaransa kuishi upwekeni hadi alipofariki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[2][3].

Sikukuu yake ni tarehe 5 Mei[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/51980
  2. (Kifaransa) Guy-Marie Oury, Les Saints de Touraine, C.L.D., 1985, pp .154-155.
  3. (Kifaransa) Bulletin diocésain d'histoire et d'archéologie, diocèse de Quimper, année 1924, vedi
  4. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.