Thomas Becket

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo katika kitabu cha Zaburi cha Uingereza, 1250 hivi, Walters Art Museum, Baltimore, Marekani.

Thomas Becket (Cheapside, London, Uingereza, 1118 (au 1120) – 29 Desemba 1170) alikuwa Askofu mkuu wa Canterbury tangu 1162 hadi kifodini chake kilichotokea wakati wa Misa katika kanisa kuu.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Anglikana kama mtakatifu wafiadini

Sababu ya kuuawa ni kubishana kwake na mfalme Henry II wa Uingereza juu ya haki na fadhili za Kanisa.

Muda mfupi baadaye Papa Alexander III alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Februari 1173.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

     . http://www.oxforddnb.com/view/article/27201. Retrieved 17 April 2011.

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Maisha
  • Duggan, Anne (2005), Thomas Becket, London: Hodder Arnold.
  • Guy, John. Thomas Becket: Warrior, Priest, Rebel (Random House; 2012) 424 pages
  • Knowles, David (1970), Thomas Becket, London: Adam & Charles Black.
Historia
  • Duggan, Anne (1980), Thomas Becket: A Textual History of his Letters, Oxford: Clarendon Press.
  • Duggan, Anne (Hrsg.) (2000), The Correspondence of Thomas Becket, Archbishop of Canterbury (1162–1170). 2 Bände, lat./engl., Oxford: Clarendon Press.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.