Ali Kafi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ali Hussain Kafi (amezaliwa 1928) alikuwa Rais wa nchi ya Algeria kuanzia 2 Julai, 1992, hadi 31 Januari, 1994. Alifuatwa na Liamine Zeroual.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ali Kafi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |