Ziwa Kashiba

Majiranukta: 13°26′38″S 27°56′24″E / 13.44389°S 27.94000°E / -13.44389; 27.94000
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziwa Kashiba
Anwani ya kijiografia 13°26′38″S 27°56′24″E / 13.44389°S 27.94000°E / -13.44389; 27.94000
Nchi za beseni Zambia
Eneo la maji ha 3.5 (acre 8.6)
Kina kikubwa m 100 (ft 330)

Ziwa Kashiba ni maarufu sana kwa kuwa na mabwawa madogo yenye kina kirefu sana yanayopatikana katika mji wa Ndola.

Kashiba maana yake "ziwa dogo". Lina eneo la takribani hektari 3.5 (ekari 8.6) na kina cha uso wa maji mita 100 (futi 330).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Kashiba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.