Zawyet el-Maiyitin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Na Zawyet el-Maiyitin iko nchini Misri
Zawyet el-Maiyitin iko nchini Misri.

Zawyet el-Maiyitin au Zawyet Sultan au Zawyet el-Amwat ni kijiji nchini Misri, kilichoko katika Mkoa wa Minya.

Huko kuna piramidi ndogo na ya ajabu kwa kuwa ni piramidi pekee iliyojengwa kwenye ukingo wa mashariki wa Mto Nile. Pia inajumuisha makaburi yaliyochongwa katika miamba ya Ufalme wa Kale.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]