William Kossangue

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

William Stèvie Kossangue-Toro (alizaliwa Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati, 9 Machi 1986) ni raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, mchezaji mpira wa kikapu ambaye kwa sasa anaichezea timu ya Union Sportive Alfortville Basket inayoshirika ligi ya Nationale Masculine 3 (NM3) nchini Ufaransa.[1]

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Kossangue alizaliwa. Baba yake ni Jean aliyekuwa wakili.

Maisha ya chuo[hariri | hariri chanzo]

Kossangue alianza kucheza mpira wa kikapu katika chuo cha Tyle Junior kabla ya kuamia Campbell Fighting Camels.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Eurobasket. "William Kossangue-Toro Player Profile, Union Sportive Alfortville Basket, News, Stats - Eurobasket". Eurobasket LLC. Iliwekwa mnamo 2022-09-03.