Wilaya ya Nkhotakota

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Wilaya ya Nkhotakota nchini Malawi
Mahali pa Wilaya ya Nkhotakota nchini Malawi

Wilaya ya Nkhotakota ni wilaya mojawapo katika Kanda ya Kati nchini Malawi. Makao makuu yako Nkhotakota. Wilaya ina eneo la km² 4,259 na ina wakazi 395,897. [1] Neno Nkhotakota linamaanisha "kona-kona" katika lugha ya Chichewa. Iko kando ya Ziwa Nyasa inayoitwa hapa Ziwa Malawi.

Vitengo na utawala[hariri | hariri chanzo]

Kuna majimbo matano ya Bunge la Kitaifa huko Nkhotakota: [2]

  • Nkhotakota - Kati
  • Nkhotakota - Kaskazini
  • Nkhotakota - Kaskazini Mashariki
  • Nkhotakota - Kusini
  • Nkhotakota - Kusini Mashariki

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "2018 Population and Housing Census Main Report". Malawi National Statistical Office. Iliwekwa mnamo 25 December 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Parliament of Malawi - Members of Parliament - Nkhotakota District". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-06-02. Iliwekwa mnamo 2022-01-12.