Dodoma vijijini
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Dodoma Vijijini)
Dodoma Vijijini ilikuwa wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma wenye msimbo wa posta 41200[1]. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Dodoma Vijijini ilihesabiwa kuwa 440,565 [1].
Tangu mwaka 2007 imegawiwa kuwa wilaya 2 mpya za wilaya ya Bahi na wilaya ya Chamwino.