Dodoma vijijini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Dodoma Vijijini (kijani) katika mkoa wa Dodoma.

Dodoma Vijijini ilikuwa wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma wenye msimbo wa posta 41200[1]. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Dodoma Vijijini ilihesabiwa kuwa 440,565 [1].

Tangu mwaka 2007 imegawiwa kuwa wilaya 2 mpya za wilaya ya Bahi na wilaya ya Chamwino.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kigezo:Kata za Wilaya ya Dodoma vijijini