Wilaya ya Arusha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wilaya ya Arusha (kwa Kiingereza: Arusha District) ni halmashauri mojawapo ya Mkoa wa Arusha yenye postikodi namba 23200. Ilianzishwa kwa kutenga maeneo ya wilaya ya Arumeru yanayozugunguka Jiji la Arusha.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya ya Arusha ilihesabiwa kuwa 800,198 [1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 449,518 [2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.nbs.go.tz/sensa/index.html Archived 11 Mei 2013 at the Wayback Machine. Sensa 2012
  2. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Arusha Vijijini - Mkoa wa Arusha - Tanzania

Bangata * Bwawani * Ilboru * Ilkiding'a * Kimnyak * Kiranyi * Kisongo * Kiutu * Laroi * Lemanyata * Lengijave * Mateves * Mlangarini * Moivo * Musa * Mwandet * Nduruma * Oldonyosambu * Oldonyowass * Oljoro * Olmotonyi * Oloirien * Olturumet * Olturoto * Sambasha * Sokon II * Tarakwa


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Arusha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.