Weston McKennie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Weston McKennie.

'

Weston James Earl McKennie' (amezaliwa 28 Agosti 1998) ni mchezaji wa soka wa Marekani ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya Schalke 04 ya Ujerumani.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Weston McKennie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.