Wallace Stevens

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Wallace Stevens.jpg
Wallace Stevens

Wallace Stevens (2 Oktoba 18792 Agosti 1955) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1955 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wallace Stevens kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.