Waja Hospital
Waja Hospital ni hospitali inayomilikiwa na kampuni ya Waja General Company Limited ilianzishwa na kufanywa kuwa hospitali mwaka 2014 [1]
Ni hospitali inayopatikana katika mkoa mpya wa Geita.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-02-18. Iliwekwa mnamo 2020-03-07.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |