Nenda kwa yaliyomo

Wafula Wamunyinyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Athanas Misiko Wafula Wamunyinyi ni mwanasiasa wa Kenya ambaye ni kiongozi wa chama cha Democratic Action Party.[1]

Alianza taaluma yake ya siasa alipochaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Kanduyi mnamo 1997.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hon. Wamunyinyi, Athanas Misiko Wafula | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2022-08-23.