Wafula Wamunyinyi
Mandhari
Athanas Misiko Wafula Wamunyinyi ni mwanasiasa wa Kenya ambaye ni kiongozi wa chama cha Democratic Action Party.[1]
Alianza taaluma yake ya siasa alipochaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Kanduyi mnamo 1997.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Hon. Wamunyinyi, Athanas Misiko Wafula | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2022-08-23.
Makala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |