Veneranda Nzambazamariya
Veneranda Nzambazamariya, (alifariki 30 Januari, 2000) alikuwa kiongozi wa wanawake nchini Rwanda.
Baada ya kifo chake alitunukiwa Tuzo ya Amani ya Milenia kwa Wanawake.[1]
Nukuu Yake[hariri | hariri chanzo]
Hebu jifariji, umetolewa kafara na mifumo ni muhimu kubadilika, Unganeni ili kubadilisha matatizo kuwa fursa za kuchukua hatua.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://web.archive.org/web/20011031071457/http://www.undp.org/unifem/mpprize/rwandabio.html
- ↑ Mazurana, Dyan (2005-02-17). Gender, Conflict, and Peacekeeping (in en). Rowman & Littlefield Publishers. ISBN 978-0-7425-8132-6.