Nenda kwa yaliyomo

Uwanja wa michezo wa Jay Jay Okocha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa Jay Jay Okocha ni uwanja unaopatikana huko Aniocha Kusini nchini Nigeria na uliopewa jina la nahodha wa zamani wa Super Eagles Jay-Jay Okocha. Hivi sasa unatumika zaidi kwa mpira wa miguu [soka] la miguu na ni uwanja wa nyumbani wa timu ya mpira ya {Delta Force FC} Iliyopewa jina jipya baada ya (Okocha) mnamo Juni mwaka 2008, uwanja huo una uwezo wa kubeba watu 8,000 na uliandaa mechi za Mashindano ya 2008 WAFU U-20 na ilishinda timu ya kitaifa ya mpira wa miguu chini ya miaka 20 ya Ghana.[1][2]

  1. Okeleji, Oluwashina (27 Juni 2008). "Okocha's emotional testimonial". BBC Sport. British Broadcasting Corporation. Iliwekwa mnamo 19 Julai 2012.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Ghana too strong for Senegal". The Daily Observer. Banjul, Gambia: Observer Company Ltd. 1 Desemba 2008. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 17 Februari 2012. Iliwekwa mnamo 19 Julai 2012.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Jay Jay Okocha kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.